Zabron Singers - Baada Ya Ndoa Lyrics

Baada Ya Ndoa Lyrics

Dear Mama Ebu Tuongee Kidogo
Nimempata Mchumba Na Nataka Nataka Nioe
Je Ni Ngombe Ngapi Nitadaiwa
Mwambie Mjomba Ajiendae 
Tena Baba Mkwe Amekaza Tutoe Ya Kutosha Iwe Fedha au Mali Mambo Yaende
Na Mkoti Wa Mjomba Tutanunua 
Kaanga Ya Shangazi Nayo Iwepo
Kwenye Ndoa,Babu Na Bibi Kabisa Wasikose 
Wasikose Uhondo,Nataka Watu Wote Wawepo 

Baada Ya Ndoa 
Ya Ndoa,Ya Ndoa 
Baada Ya Ndoa 
Ya Ndoa,Ya Ndoa

Tushaongea Tutajikabidhi Kwa Mungu 
Hata Baada Ya Ndoa Baby
Tushaongea Mpaka Kifo Kije Kitutenge
Hii Baada Ya Ndoa Baby  

Baada Ya Ndoa Tukawasalimu Na Ndugu Zetu
Tena Baada Ya Ndoa Twende Tuwaone Kijijini Kwetu
Baada Ya Ndoa Twende Tumuone Na Baba Mkwe
Mhh Baada Ya Ndoa Twende Kanisani Pamoja Baby

Baada Ya Ndoa 
Ya Ndoa,Ya Ndoa 
Baada Ya Ndoa 
Ya Ndoa,Ya Ndoa

Baada Ya Ndoa 
Maelewano
Tumeshaongea Na Sweety Tusigombane 
Kwa Utani Tucheke Kidogo
Tubebeshane
Mpenzi Ukiwa Safari Nitakumisi

Baada Ya Ndoa Baby
Maelewano
Ya Ndoa Baby
Tumeshaongea Na Sweety Tusigombane 
Turinge Turinge Kidogo 
Tubebishane
Mpenzi Ukiwa Safari Nitakumisi

Mwambie Na Jirani Ajipange
Harusi Inakuja 
Aje Alete Na Zawadi
Ndugu Na Marafiki Watakuja
Tena Watapendeza
Wakinishangilia Mimi 

Baada Ya Ndoa 
Ya Ndoa,Ya Ndoa 
Baada Ya Ndoa 
Ya Ndoa,Ya Ndoa

Baada Ya Ndoa 
Maelewano
Tumeshaongea Na Sweety Tusigombane 
Kwa Utani Tucheke Kidogo
Tubebeshane
Mpenzi Ukiwa Safari Nitakumisi


Baada Ya Ndoa Video

Baada Ya Ndoa Lyrics -  Zabron Singers

Zabron Singers Songs

Related Songs